DKB2201 Kiswahili Grammar and Reading-Teaching Methods

Course Unit Title

DKB2201 Kiswahili Grammar and Reading-Teaching Methods

Side Navigation

Course Unit Description

MSAMIATI

  • Eleza maana kwa kutumia vifaa
  • tunga sentensi
  • Kutumia visa, mikasa na hadithi
  • Kuigiza na kuiga jinzi ya kufundisha msamiati

INSHA

  • Kujadili aina mbalimbali za mitunzo
  • Kuchagua kichwa
  • Kujadili vidokezi
  • Mpangilio – Utangulizi, maudhui na tamati
  • Mtiririko, mtindo, sarufi, maendelezo
  • Kuandika insha
  • Masahihisho baada ya mwalimu kupitia insha zote za darasa

IMLA

  • Kuchagua maneno, vifungu, sentensi au aya
  • Mwalimu asome kwa mara ya kwanza
  • Mwalimu asome kwa mara ya pili huka wanafunzi wakaondika
  • Mwalimu arudie kusoma ili wanafunzi wasahihishe
  • Matayarisho ya mwigo wa funzo la imla
  • Kuzingatia matumishi bora

MASHAIRI

  • Kuchagua shairi linalofaa
  • Kufunza msamiati
  • Kusoma shairi kwa makini
  • Kukariri shairi
  • Kuimba shairi
  • Kuiga ufunzi wa funzo la mashairi
  • Kuchambua mashairi
  • Kujibu maswali
  • Mazoezi Zaidi

TAMTHILIA NA RIWAYA

  • Kusoma vitabu darasani
  • Jukadiliana
  • Kuchambua
  • Maswali
  • Masahihisho
  • Mwigo was ufunzi wa masomo

MATAYARISHO YA KUFUNZA

  • Mwigo wa kufunza vipindi mbalimbali kupitia kwa makundi k.v. Sarufi, msamiati, kusoma, insha, mashairi na ufahamu.